Mahali pa Kalifornia katika Marekani
California (pia: Kalifornia) ni jimbo la Marekani upande wa magharibi-kusini ya nchi. Iko kwenye pwani la Pasifiki ikipakana na Meksiko. Mji mkuu ni Sacramento.
Gavana amekuwa tangu 2003 mwigizaji Arnold Schwarzenegger.
California ni kati ya majimbo ya Marekani yenye uwezo mkubwa wa kiuchumi. Kama California ingekuwa nchi huru ya kujitegemea uchumi wake ungekuwa na nafasi ya 8 duniani.
Los Angeles hasa eneo la Hollywood ni kitovu cha kupiga picha za filamu. Utalii, kilimo na viwanda vya ndege huajiri watu wengi. Makampuni ya kompyuta yamestawi vizuri sana California kwa mfano Microsoft.
largest in the world,[3] and it would be
Kuna miji 59 yenye wakazi zaidi ya lakhi moja:
Questions for article: bản ồ hoa kỳ, california state vegetable, dogface butterfly habitat, dogface butterfly habitat california site:org, population of california cities, 1910 wildfire in california, 1976 population of california cities, 3. california, vermont, hawaii, district of columbia, maine, new jersey and connecticut all grant civil unions, a huge map of california including:central valley cascade range death valley, แคลิฟอร์เนียlong beach, ca population 1860 ucla data
|